Kusinzia kwenye daladala ni tabia mbaya sana

Kusinzia kwenye daladala ni tabia mbaya sana

itoko jr

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2023
Posts
1,126
Reaction score
2,537
Habarini wanaJF

I hope uko fit.

Moja kwa moja niende kwenye mada mara nyingi nikiwa kwenye daladala naona baadhii ya watu wanasinzia au kulala kabisa wakiwa wamekaa kweny seat huku wakikoroma na kushusha udenda mzito daaah inakera hadi mtu unajisikia kinyaa.

Mimi binafsi hiyo tabia siipendi na ninaitafsiri kama tabia mbovu na mbaya, muache kusinzia kwenye daladala bhana mnakeree balaa[emoji42]

N.B Wengine mnaibiwa (mnasachiwa bila kujua) na pisi kali kuliwa kimasihara sababu ya kusinzia unanilalia kifua natake advantage.

Nawasilisha.
 
Tatizo unazani kila mtu ni malezi bora kama wewe, Mtu anaamka saa 9 ya usiku kutoka mbagala kwenda feli, akifika ni kazi tu, mpaka saa 12 jioni, anapoludi akiwa kwenye gari atashindwa kusinzia? Wewe kutwa nzima umeshinda kwa shemeji yako unaangalia Tv, kuwa yatakukuta tu
 
Kuna mwingine anaweza akakujibu kuwa Kutumia usafiri wa Umma ni tabia mbaya sana kwa kuwa unaweza beba maradhi na kupeleka nyumbani kwako. Kwanini ukitoka asbh usiwashe gari lako ukatoka nalo kwenda kwny shughuli zako?

Watu wanamaliza shughuli zao saa nne usiku hadi afike Mbagala kingugi kutokea Kariakoo ni saa tano na nusu, anaweka ubavu chini saa 6, apapasane na mwenzie hadi saa 7 usiku, ikifika swalaa swalaa anawahi kujiandaa, kwanini asipunguze usingizi kwny daladala?

Pengine wewe unaamka baada ya usingizi kuisha wakati wenzio wanaamka baada ya muda wa kuamka kufika.
 
Hakuna usingizi mtamu kama wa kwenye daladala. Ila raha uwe unafika kituo cha mwisho
 
Shemeji kwa maana ya Mume wa Dada yake au Mume wa Kaka yake? Maana siku hizi unaambiwa sio kama enzi zetu tulikuwa tunasema hata Bosi ana Bosi wake siku hizi wanasema hata Mume ana Mume wake.
 
Mkuu watu wanachoka. Wewe unashangaa kusinzia kwenye daladala? Kuna mwamba nilimuona anasinzia huku anatembea.
 
Kawaida daladala ni za watu wa kipato cha kati na walala hoi, kuzinzia hakukwepeki kwani ametoka kwenye kazi ngumu.
 
Kuna mwingine anaweza akakujibu kuwa Kutumia usafiri wa Umma ni tabia mbaya sana kwa kuwa unaweza beba maradhi na kupeleka nyumbani kwako…kwanini ukitoka asbh usiwashe gari lako ukatoka nalo kwenda kwny shughuli zako?

Watu wanamaliza shughuli zao saa nne usiku hadi afike Mbagala kingugi kutokea Kariakoo ni saa tano na nusu, anaweka ubavu chini saa 6, apapasane na mwenzie hadi saa 7 usiku, ikifika swalaa swalaa anawahi kujiandaa, kwanini asipunguze usingizi kwny daladala?

Pengine wewe unaamka baada ya usingizi kuisha wakati wenzio wanaamka baada ya muda wa kuamka kufika
Kupapasana kuwe na ratiba yake, sio kila.siku kama jogoo na mtetea.
 
Back
Top Bottom