The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Wakuu mje mtusaidie hapa sisi vilaza wa sheria,kumekuwa na kawaida ya watumishi wa umma kuviziwa wakiwa wamesinzia kwenye viti na kuwapiga picha kama ushahidi wa kutumbuliwa,kibiologia kusinzia sio kama takwa Bali lazima .
Je iwapo mtumishi atapigwa picha akisinzia na hakuna mteja he ni sahihi kuwajibishwa ? Kwa kosa lipi?
Je iwapo mtumishi atapigwa picha akisinzia na hakuna mteja he ni sahihi kuwajibishwa ? Kwa kosa lipi?