Kusoma au kudownload vitabu kwenye mtandao.

Mnyaluhala.

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2012
Posts
1,430
Reaction score
1,785
Habari wadau. Naomba kufahamishwa namna ya kusoma vitabu kwenye mtandao au link ya kudownload vitabu vya masomo mbali hasa vya chuo, nimejaribu kusachi lakini vinakuja vya kulipia tena gharama kubwa sana na proces ndefu ya malipo. Nisaidieni kwa hili tafadhali!
 
Hebu kuwa specific mkuu, huwezi kusema vitabu mbali mbali vya chuo!!!Katika ngazi ipi na kozi ipi??
 
na anayejua website ya kuweza kudownload medical books kama clinical based anatomy by Moore pls...
 
Wasiliana na member wa JF anayeitwa LIBRARY na kuna uzi wake jukwaa la chini kabisa, JF store enjoy
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…