Mimi sio mwanasheria, ila haya ni maoni yangu. Unachofanya kwa muda nje ya masaa ya kazi ni your private business, mwajiri hapaswi na hana ulazima wa kujua. Kuhusu kupandishwa cheo baada ya kupeleka vyeti kutategemea mambo mengi. Je, mwajiri ana uhitaji na mtu mwenye elimu ya ngapi uliyoongeza? Je, mwajiri ana uwezo wa kulipa kwa cheo kipya? Sera ya ajira ya mwajiri ikoje?
.
..C
Ppawg3ewlew3o²mmk2n2mk2.w. m d0aoo²³pet k⁰jòoòò⁹9⁹9u99⁹9⁰0900⁰0009⁸ýýi0798i89oò