Kusoma BSc. Phamarcy ukiwa ni Clinical Officer

Kusoma BSc. Phamarcy ukiwa ni Clinical Officer

Joined
Aug 1, 2024
Posts
30
Reaction score
53
Habari wana JF,

Nina rafik yangu alisoma CBG akapata division II ya 12, baada ya hapo akaenda kusoma clinical medicine akapata GPA ya 4.2.

Sasa anaomba msaada je akitaka kusoma Bsc pharmacy itawezekana kwa hivyo vigezo tajwa hapo juu?
 
Ameona pharmacy ina ajili sana bila shaka ...

Mwambie asisahau kujifunza boda akiwa chuo .
 
Habari wana JF,

Nina rafik yangu alisoma CBG akapata division II ya 12, baada ya hapo akaenda kusoma clinical medicine akapata GPA ya 4.2.

Sasa anaomba msaada je akitaka kusoma Bsc pharmacy itawezekana kwa hivyo vigezo tajwa hapo juu?
Huwezi kusoma kozi ya afya kama hujasoma phys..
 
Back
Top Bottom