Teacher_Of_Teacherss
New Member
- Jan 9, 2024
- 3
- 5
Vitu ambavyo tunafundishwa huko Machuoni, mahali ambapo tunalipia ada zaidi ya milioni 1 iwe kwa mihula michache au mingi, lakini ukweli acha tuongee. Unakuta mtu anaenda kusomea course labda ya IT, ila vitu ambavyo anafundishwa si deep ya IT kama inavyotaka. Ifukunyuliwe inaguswa tu juu, labda kwenye upande wa maana ya IT, inavyofanya kazi, content zake za ndani, na mambo mengine madogo madogo.
Shida sio mfundishaji anaekufundisha iyo course, shida ni yeye mfundishaji alivyofundishwa na ndo anavyokufundisha wewe. Kikubwa ukienda chuoni, usije uka base sana na chuo, ukadhani kila kitu utapata huko kuhusu course unayoenda kusomea. Ukiwa unaendelea na chuo, hakikisha na wewe unapata mahali pa kukuendeleza kutokana na iyo course yako uliyochagua. Yaani ujifunze vitu vya juu tofauti na unavyofundishwa chuoni.
Mwisho.
Shida sio mfundishaji anaekufundisha iyo course, shida ni yeye mfundishaji alivyofundishwa na ndo anavyokufundisha wewe. Kikubwa ukienda chuoni, usije uka base sana na chuo, ukadhani kila kitu utapata huko kuhusu course unayoenda kusomea. Ukiwa unaendelea na chuo, hakikisha na wewe unapata mahali pa kukuendeleza kutokana na iyo course yako uliyochagua. Yaani ujifunze vitu vya juu tofauti na unavyofundishwa chuoni.
Mwisho.