Kusoma masters nje ya nchi

acha matata

Senior Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
165
Reaction score
39
Wakuu, Shalom.

Natafuta ushauri na maoni ya chuo kinachofaa kusoma by distance/online learning MBA au project management kinachotambuliwa na TCU. Nimekuwa najaribu kuangalia vyuo vya India but its a bit tricky. However; cost in terms of tuition fee is also a consideration.

Cheers
 
University of london wanayo distance learning na mitihani yao wanafanyia pale necta,but ada kidogo ni ndefu
 
Mkuu flyn rider, nashukuru sana. Nimejaribu sana kwa vyuo vya UK na admissions nyingi nimepata. Ni parefu sana ukitaka kusoma UK na Australia na hususan kama unajikamua mwenyewe kulipia ingawa nakiri ubora wa elimu. THANKS A LOT
 
Aisee mi mwenywe nataka kusoma masters bt co online mkuu nafanyaje kupata the best university in UK
 
Kidzumbe, nadhani kwa option yako ni rahisi zaidi kupata chuo kuliko option yangu. Nadhani kwakuanza, nikutambua course unayotaka kusoma ndio utambue chuo. Ukija jukwaani na course utapata ushauri wa kutosha naamini
 
No idea Otorong'ong'o. However; try to learn by browsing open2study. Nikipata michongo mingine nitakupa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…