kusoma masterz HEALTH MONITORING &EVALUATION.

Mbelwa Germano

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2011
Posts
789
Reaction score
289
Habari wana jf,kuna kozi mpya ya masters imeanzishwa mwaka huu 2013/2014 pale mzumbe university,je kwa mtu ambae ana bachelor of arts with education{BA.ED} anaweza kusoma hiyo kozi ya masterz health monitoring &evaluation? au n maalum kwa watu wenye bachelor za mambo ya afya tu? vipi kuhusu upatikanaji wa ajira na ushindan sokoni? je mtu wa BA.ED akisoma hyo kozi ya M&E hawez kupata ugumu wa kuajiriwa simply b'coz hana msingi wa kozi za health? najua wahusika wa mzumbe na wadau wa mambo ya afya mpo humu ndani naombeni majibu na ushauri tafadhali!!
 
Kama watafata vigezo walivyotoa huwezi pata, wanataka uwe na background and experience ya mambo hayo but ukifanikisha kupata no bonge la dili mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…