Ndugu wanajamvi naomba kuelimishwa kidogo kupitia swali lifuatalo:
Kuna uwezekano wa mtu kufanya Phd bila kupitia Masters? Na kama jibu ni ndio ni katika mazingira gani hasa?
Nauliza hivi sababu nilisoma juzi kwenye gazeti Grace Mugabe yuko mbioni kufanya shahada ya uzamivu akiwa na shahada ya kwanza ya lugha ya kichina aliyosoma kwa njia ya masafa.
Atafanya Phd hiyo yenye mwelekeo wa mambo ya kijamii chini ya usimamizi wa mwanataaluma kipenzi cha ikulu.
Naomba kuelimishwa.
Kuna uwezekano wa mtu kufanya Phd bila kupitia Masters? Na kama jibu ni ndio ni katika mazingira gani hasa?
Nauliza hivi sababu nilisoma juzi kwenye gazeti Grace Mugabe yuko mbioni kufanya shahada ya uzamivu akiwa na shahada ya kwanza ya lugha ya kichina aliyosoma kwa njia ya masafa.
Atafanya Phd hiyo yenye mwelekeo wa mambo ya kijamii chini ya usimamizi wa mwanataaluma kipenzi cha ikulu.
Naomba kuelimishwa.