RAKI BIG
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 394
- 456
Manchester City wanaelekea katika moja ya wiki kubwa kuwahi kutokea katika historia yao wakijua kwamba , heshima yao , nafasi yao ya kucheza ligi ya mabingwa ulaya na kikosi chao cha msimu ujao , vyote hivyo vipo hatarini kupotea
Kesho jumatatu, rufaa yao dhidi ya kifungo cha kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa misimu miwili mfululizo itasikilizwa rasmi na Mahakama ya usuluhishi ya michezo
Mtendaji Mkuu wa Man City Ferran Soriano amesema hivi
“ Mashabiki wawe na uhakika na vitu viwili , moja haya madai ni ya uongo , na mbili tutafanya kila linalotakiwa kufanywa kuthibitisha kwamba hatuna makosa “
Kesho jumatatu, rufaa yao dhidi ya kifungo cha kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa misimu miwili mfululizo itasikilizwa rasmi na Mahakama ya usuluhishi ya michezo
Mtendaji Mkuu wa Man City Ferran Soriano amesema hivi
“ Mashabiki wawe na uhakika na vitu viwili , moja haya madai ni ya uongo , na mbili tutafanya kila linalotakiwa kufanywa kuthibitisha kwamba hatuna makosa “