Kusukari, Presha na Cancer ni magonjwa ya kurithi?

deejaywillzz

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
637
Reaction score
224
Habari wakuu, wakati wa utoto wangu nilikuwa nimesikia ya kuwa magonjwa kama kisukari na cancer ni magonjwa ambayo mtu anarithi kutoka kwa mtu aliyewahi kuwa nao kwenye familia yake.

Sasa nimekuwa nikapata ufahamu ya kuwa vyakula na vitu vingine kama radiations vinaweza kusababisha magonjwa haya. Lakini kuhusu urithi wa ugonjwa bado sijapata ufafanuzi mzuri.

Hivi ni kweli kuwa mtu anaweza kurithi ugonjwa ?
 
Inasemwa hivyo lakini uwezekano ni mdogo sana. Mara nyingi unarithi ile namna ya maisha waliyoishi wazazi wako ndiyo ambayo inakupelekea kupatwa na wewe maradhi hayo lakini kwamba eti unaweza kurithi BP, kisukari au kansa bado sana kunishawishi nikubaliane na hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…