Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaMapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.
Tunasusia miamala ila mafuta ya kula na petrol tunatumia kama kawa😁Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.
Petroli yanini tena [emoji15] , si tulikubaliana yaishe!?Tunasusia miamala ila mafuta ya kula na petrol tunatumia kama kawa[emoji16]
Tususie ile walioko vijijini waendelee na mzigo wa kujiondoa katika umaskini kwa sababu ya uhaba au ubovu wa huduma za afya!!!!Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.
KUENDELEEEE !!!!!!!Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.
Hao walioko vijijini wananihusu nini mimi?Tususie ile walioko vijijini waendelee na mzigo wa kujiondoa katika umaskini kwa sababu ya uhaba au ubovu wa huduma za afya!!!!
Wee jamaa unakuaga DUNYA sana.Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.
Ha ha ha!!!! Watz wameongea!!!!Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.
Ha ha ha!!!! Watz wameongea!!!!
[emoji1548][emoji1752][emoji1548][emoji1752][emoji1548]Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.
Wee jamaa unakuaga DUNYA sana.
Halafu wakisusia unapata nini?
Pia tofautisha kati ya hiyo tozo mpya na kodi. Hiyo. 48 Bil ni kutoka kwenye tozo mpya,kodi ya mapato ipo kivingine kabisa.
Baba askofu wako kaacha kukusugua vizuri nini,unademka huku tukuone?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu huu unyonyaji uanze, nimenyonywa mara 3 tu tena ilikuwa dharura, nilipo hapa nafikiria kuikwepa hiyo dharura.Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.