Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,979
Mambo eliah..
Mi nikiwa busy sometimes hiyo hunitokea. Wanasema ni tabia mtu anatoka nayo kuanzia utotoni. Sio ugonjwa.
Duh kama unatafuna ulimi si utakuwa umetoboka kama tambara bovu mmmmh.............