Kutafuta jinsia ya mtoto kabla hajazaliwa

Ukibabanjuka huku una lembuwa macho lazima upate mtoto wa kike. Ukibanjuka huku umekaza misuli na kuunguruma kama simba linakuja dume......make a choice.🙂
 
Msiwe mmelewa, Msiwe na njaa, Msiwe wachovu...... Muwe fresh, hasa kwa mwanaume ili mbegu zake ziwe na nguvu ya kuogelea fasta. Kumbuka mbegu za kiume zinaogelea faster zaidi kuliko za kike

Si kweli. X chromosome ndo zina speed kubwa kuliko Y chromosome
 
Tulia mashukuru Mungu kwa kukupatia watoto wa kike warembo wenye Afya njema je Mungu angekupa mtoto kiziwi,kipofu au mwenye ulemavu wa akili au viongo ingekuwaje kama hivi tu Mungu kakujalia warembo wenye akili timamu unalalamika.mwombe Mungu msamaha na mwambie asante kwa zawadi ya watoto hawa wa like.jiulize vp kuhusu
Anna tibaijuka
Asharose migiro
Halima mdee
Ester bulaya
Tulia
Kijo
Makinda
Mwanao pia anaweza kuwa mmoja wa hawa
 
Ndugu wana JF, naomba kuuliza kuna siku rasmi ambazo mwanamke na mwanamume wakikutana anatokea mtoto wa kiume?
NB: Naomba nieleweke kwamba lengo langu ni kutaka kujua namna ya kupanga kutungisha mimba ambayo itapelekea kuzaliwa mtoto wa jinsia niitakayo kwa wakati huo,
Naomba kusaidiwa kwa maelezo ya kitaalam, nikitaka mtoto wa kike ni siku zipi zinazotakiwa mimba itungishwe? Je wa kiume nae ni siku zipi? Asanteni.
 
umeoa? Tayari unae mtoto hata mmoja? Kama hujaoa na huna mtoto ni mapema sana kuwaza kuchagua jinsia maana kuna wenzako hata uwezo wa kutungisha mimba hawana ila tulia watakuja kukuelekeza wajuzi
 
umeoa? Tayari unae mtoto hata mmoja? Kama hujaoa na huna mtoto ni mapema sana kuwaza kuchagua jinsia maana kuna wenzako hata uwezo wa kutungisha mimba hawana ila tulia watakuja kukuelekeza wajuzi
Nimeoa, nina mtoto mmoja wa kike anamiaka minne.
 
Ndugu wana JF, naomba kuuliza kuna siku rasmi
ambazo mwanamke na mwanamume wakikutana
anatokea mtoto wa kiume?
NB: Naomba nieleweke kwamba lengo langu ni
kutaka kujua namna ya kupanga kutungisha
mimba ambayo itapelekea kuzaliwa mtoto wa
jinsia niitakayo kwa wakati huo,
Naomba kusaidiwa kwa maelezo ya kitaalam,
nikitaka mtoto wa kike ni siku zipi zinazotakiwa
mimba itungishwe? Je wa kiume nae ni siku
zipi? Asanteni.
 
Mwenye uelewa anisaidie kunipa elimu hiyo.
 
Huu ndio ukweli.
 
Sawa mkuu, utajuaje kuwa yai x la kike limepevuka ili ufanye mambo na kupata kidume?
 
Hapa kuna ukweli ndani yake, asante kwa maelezo mazuri, naomba kuuliza evolution huwa inatake place masaa yapi? Je ni asubuhi, mchana, jion ama usiku ili tujue namna ya kufanya timing.
 
unaweza kujua ovulation day kwa haya
1) joto la mwanamke uongezeka kwa 1 degree cent igrade.siku ya ovulation joto la mwanamke huwa kubwa kidogo (about 38 instead of normal 37)

2) majimaji ya uken yanakuwa mazito

3) mwanamke anakuwa na hashik sana
Hilo joto linapimwa na kujua limeongezeka kwa muda upi? Lengo langu ni kujua, yai kuja ktk fallopian tube/mfuko wa mimba huja asubuhi, mchana, jion ama usiku?
 
Yanawezekana kabisa mimi nilijaribu nikafanikiwa.
Unaweza kunipa mwongozo, ulijaribu kwa kufuata maelekezo yapi mpka ukafanikiwa? Maana humu pamekuwa na maelezo tofauti tofauti.... Msaada mkuu ama kwa yeyote anaejua, hili jambo kwangu ni la mhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…