Kutafuta mchumba wa kuoa

Kutafuta mchumba wa kuoa

yumoki

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
284
Reaction score
133
Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa ambaye natafuta mchumba ambaye tukikubariana ndio ataekuwa mke wangu ili nimuoe kiukweli sina vigezo vingi ila viwili tu vinatosha 1)awe mweupe na 2)awe muislamu .mimi hapa nipo serious na kama yupo ambae yupo serious aniPM ili tuongee nae vizur
 
Back
Top Bottom