2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Kwa sasa wizara, mahospitali TVs na radio kelele ni kujikinga au kuchukua tahadhari za wimbi la tatu la Covid-19.
Lakini tahadhari hizi sioni kama zina maana yeyote kwa mwananchi sababu watu wanaendelea na maisha kama kawaida inasaidia nini? Hutoi takwimu ili watu wajue kuwa mdudu kashaingia kweli nani ataamini kuwa kuna wimbi la tatu?
Tanzania hatutaki lockdown lakini hatua zichukuliwe kwa vitendo. Kiongozi unakusanya umati kwenye ukaguzi wa miradi, watu wanabanana kwenye daladala kama kawaida, wanajazana uwanjani, wanakutana kwenye vikao, makanisani, misikitini, mashuleni hayo matangazo ni itawakinga?
Endeleeni na matangazo tu bila hatua tuone kama kuna kitakachobadilika.
Mtanzania uhai wako uko mikononi mwako mwenyewe, endelea kuzembea uone kama haujaupoteza
1. Vaa barakoa
2. Nawa mikono mara kwa mara
3. Usisongamane kwenye watu wengi
Kuvaa barakoa sio ushamba au uoga ni hekima kwako ya utambuzi
Lakini tahadhari hizi sioni kama zina maana yeyote kwa mwananchi sababu watu wanaendelea na maisha kama kawaida inasaidia nini? Hutoi takwimu ili watu wajue kuwa mdudu kashaingia kweli nani ataamini kuwa kuna wimbi la tatu?
Tanzania hatutaki lockdown lakini hatua zichukuliwe kwa vitendo. Kiongozi unakusanya umati kwenye ukaguzi wa miradi, watu wanabanana kwenye daladala kama kawaida, wanajazana uwanjani, wanakutana kwenye vikao, makanisani, misikitini, mashuleni hayo matangazo ni itawakinga?
Endeleeni na matangazo tu bila hatua tuone kama kuna kitakachobadilika.
Mtanzania uhai wako uko mikononi mwako mwenyewe, endelea kuzembea uone kama haujaupoteza
1. Vaa barakoa
2. Nawa mikono mara kwa mara
3. Usisongamane kwenye watu wengi
Kuvaa barakoa sio ushamba au uoga ni hekima kwako ya utambuzi