Kutahiriwa ukubwani ni matatizo tupu

Kutahiriwa ukubwani ni matatizo tupu

Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

awe Muslim
mweupe
19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
awe amelelewa kimaadili
awe tayari kuwa na watoto watatu
awe kabila lolote
awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
 
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

awe Muslim
mweupe
19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
awe amelelewa kimaadili
awe tayari kuwa na watoto watatu
awe kabila lolote
awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
Wakipatikana wawili nipushie mmoja kiongozi
 
Mimi nilipita huko nikiwa kama 13yrs ..... maumivu niliyahisi muda mfupi baada ya ganzi kuisha!

sana sana Dr alinikosea ko ikawa napata maumivu lkn so Yale ya kukatwa!

Pia mnara ukisoma ndo kidogo unabembeleza upoe,

Lakini naona ni vizuri vijana wajue kuwa ndo kuko hivi
 
Asubuhi inauma, Usiku inauma Ukipata ashki inauma.

Ushauri fanya tohara ukiwa bado mdogo.
Unatoa ushauri usio na washauriwa!

Je kuna mtoto anayestahili kupokea ushauri huu?

Jf ina watu wazima tupu, kushauri warudi utoto ili kutahiriwa mapema ni kuwatukana matusi ya nguoni kwa mafumbo.
 
Back
Top Bottom