Kutambulika. . . .

kuna mtu anakuchokoza makusudically halafu nahisi ana multiple ID's!

Kwahiyo hilo pipa la mafuta ni nani anaesubiria kulipuliwa na hicho kiberiti kilichoshikwa na MIO?
 
Kwahiyo hilo pipa la mafuta ni nani anaesubiria kulipuliwa na hicho kiberiti kilichoshikwa na MIO?

Hata hizo anazodai ni multiple IDs hawezi kamwe kuthubutu kuthibitisha. Ni kuhisi hisi tu tena kwa msaada wa mhisiwa.
 
Sasa wambea wambea wa hapa watajuaje na mimi NIMO?Au unataka unitambue ila NISITAMBULIKE wala USITAMBULIKE kwa watu??
Audi new model itashinda barazani kwako siku nzima na kukupeleka salon na kukurudisha kuvaa rasmi kwa mtoko, i will hire a driver for ur up n down for whole day.
Nadhani hilo fagio litatosha kuwakata kilimilimi, mimi na wewe tutakutana kwenye eneo la tukio for special night.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…