Audi new model itashinda barazani kwako siku nzima na kukupeleka salon na kukurudisha kuvaa rasmi kwa mtoko, i will hire a driver for ur up n down for whole day.
Nadhani hilo fagio litatosha kuwakata kilimilimi, mimi na wewe tutakutana kwenye eneo la tukio for special night.
kwa raha zenu!
haswaaaaaaaaaa,nimehisi hivo!Unajua kama Lizzy anamjua Bwa'Nchuchu?
haswaaaaaaaaaa,nimehisi hivo!
Mie sijasema namjua nimesema namtambua!.. Naelewa kujua na kutambua ni vitu viwili tofauti, huezi kujua kama hutambui, inaanza kutambua then kujua!Kujua sio kutambua. . .wala kutambua sio kujua.
Mie sijasema namjua nimesema namtambua!.. Naelewa kujua na kutambua ni vitu viwili tofauti, huezi kujua kama hutambui, inaanza kutambua then kujua!
Sasa lipi ni lipi - unajua ama unahisi?
Karibu na wewe upate raha kama zetu.
Hehehe. . .yatakushinda mwanaume wewe.
Kijana huyo sio Binti ni Jimama!we binti mie nakufagilia sana kwa post zako achana na wachumia matumbo hao watakuharibia mood!
we binti mie nakufagilia sana kwa post zako achana na wachumia matumbo hao watakuharibia mood!
Sasa ndio nini hivyo Valentine?Huwezi kunitambua ukaacha mwanya wengine wanijue?LolzKijana huyo sio Binti ni Jimama!
Kijana huyo sio Binti ni Jimama!
Haya mimi naingia mtaani sasa kupata dinner leo nina hamu na dinner ya mtaani, nawatakia mjadala mwema wenye afya.Hahaha. . . haya bana NAPOTEZEA!!
Sasa ndio nini hivyo Valentine?Huwezi kunitambua ukaacha mwanya wengine wanijue?Lolz
III)KUTAMBULIWA na MHUSIKA ila sio na WATU WOTE. . mwenzako anakutambua na kukubali kama mke/ mume/ mchumba/ mpenzi wake na vitendo vyake haviko mbali katika kuthibitisha hilo ila waliopo nje (yaweza kuwa ndugu zake au zako, marafiki au majirani) wanakataa/shindwa kukutambua kama anavyokutambua mhusika.
nahisi tu ndugu yangu,kwanza sikujua kuwa jina lako jingine ni MIO.