Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 468
Wakuu heshima kwenu,
Ilikuwa tarehe 25 December mwaka ulopita Mtwa Mkulu aliweka Tangazo akituhamasisha vijana tuungane tuache kuzunguka huku na huko kwani kwa sasa serikali imeshindwa. Haiwezi kutuajiri.
Tumekutana Mara nyingi na kufanya vikao mbalimbali, ni kwa mwezi mmoja tu tumepiga hatua kubwa,
Tunakatiba, tunashughulikia usajili pia tunaofisi.
Pia kuna eneo tumepata tunapigania kufanya kilimo. Ni matarajio yetu kwamba tutafanya mengi zaidi hapo baadae kutokomeza kabisa suala la tatizo la ajira.
Tungependa kupata member ambao waweza kuwa waajiliwa, wenye taaluma furani ambayo wanaona wataitumia kwetu kumaliza tatizo la ajira kwa vijana. Tunahitaji wataalamu wa kilimo ,wahusika wa ardhi hasa mashamba ili tufanye kazi hii kwa pamoja.
Haya ndiyo masuala tuliyo yafanya na hilo ndio ombi letu. Karibu kwa maoni na ushauri napatikana pia PM
Ilikuwa tarehe 25 December mwaka ulopita Mtwa Mkulu aliweka Tangazo akituhamasisha vijana tuungane tuache kuzunguka huku na huko kwani kwa sasa serikali imeshindwa. Haiwezi kutuajiri.
Tumekutana Mara nyingi na kufanya vikao mbalimbali, ni kwa mwezi mmoja tu tumepiga hatua kubwa,
Tunakatiba, tunashughulikia usajili pia tunaofisi.
Pia kuna eneo tumepata tunapigania kufanya kilimo. Ni matarajio yetu kwamba tutafanya mengi zaidi hapo baadae kutokomeza kabisa suala la tatizo la ajira.
Tungependa kupata member ambao waweza kuwa waajiliwa, wenye taaluma furani ambayo wanaona wataitumia kwetu kumaliza tatizo la ajira kwa vijana. Tunahitaji wataalamu wa kilimo ,wahusika wa ardhi hasa mashamba ili tufanye kazi hii kwa pamoja.
Haya ndiyo masuala tuliyo yafanya na hilo ndio ombi letu. Karibu kwa maoni na ushauri napatikana pia PM