Kutana na fundi mahiri wa ujenzi

Kutana na fundi mahiri wa ujenzi

Pmoses95

Member
Joined
Apr 16, 2014
Posts
43
Reaction score
158
Karibu kwa ujenzi Imara wa nyumba.

Tunajenga majengo ya kawaida na ghorofa.
Tunafanya ukarabati wa majengo yaliyo chakaa.
Tunafanya ujenzi wa mfumo wa kisasa wa majitaka usiojaa.


Bei zetu ni nafuu na zinazingatia maisha ya mtanzania.

Tunapatikana Dar es salaam lkn kazi tunafanya popote ndani ya mipaka ya Tanzania..

Karibuni Sana.
Hapa jamii forum SI mgeni kwa haya mabandiko.

Hapo awali nilijulikana Kama "Paul building agancy". na Nina mabandiko mengi hapa kwa hili jina. Lkn naona kwa Sasa user name hili silipati kwa Sasa.

Instagram napitikana kwa jina la FUNDI MAHIRI WA UJENZI .


MAWASILIANO.
0655173113 calls & whatsup
0624088590
pmoses951@gmail.com
IMG-20220803-WA0034.jpg
 
kampuni yako ya ukandarasi inaitwaje,ofisi ziko wapi
 
Nyumba vyumba vinne vyenye sebule, jiko, dining na vyoo unajenga Kwa kiasi Gani?
 
Back
Top Bottom