Kutana na Karen, binti wa Gardner G. Habash

Status
Not open for further replies.
Hapa vipi udhalilishaji kwa huyu binti haupo si ndio?!

Ila Bibi Kizee yule kukojozwa kwa miaka 15 mmepata wivu na mapozi juu.
WALIKUWA WANAKOJOZANA WOTE ...
SWALI KIPINDI CHOTE HICHO GADNER KAPATA MTOTO KWA COMMANDOR AU KATOKA KAPA KAMA MCHWA UTOKAVYO KWENYE CHUPA?
 
WALIKUWA WANAKOJOZANA WOTE ...
SWALI KIPINDI CHOTE HICHO GADNER KAPATA MTOTO KWA COMMANDOR AU KATOKA KAPA KAMA MCHWA UTOKAVYO KWENYE CHUPA?
Gadner tunajua anamtoto hivyo hatuna wasiwasi na nguvu zake za kiume

Sasa swali la kujiuliza ni Je Jide anamayai kweli?!, au ni Mgumba kweli?!
 
Gadner tunajua anamtoto hivyo hatuna wasiwasi na nguvu zake za kiume

Sasa swali la kujiuliza ni Je Jide anamayai kweli?!, au ni Mgumba kweli?!

ujinga huu...alafu utakuta wewe ni mwanaume
 
Gadner tunajua anamtoto hivyo hatuna wasiwasi na nguvu zake za kiume

Sasa swali la kujiuliza ni Je Jide anamayai kweli?!, au ni Mgumba kweli?!
ANAYEJUA BABA WA MTOTO NI MAMA YAKE .. KAMA UNAALIJUA HILO USITWAMBIE KAMA GADNER ANA MTOTO AU LAH!!!
 
ANAYEJUA BABA WA MTOTO NI MAMA YAKE .. KAMA UNAALIJUA HILO USITWAMBIE KAMA GADNER ANA MTOTO AU LAH!!!
Na kwasababu mpaka sahivi hakuna aliyejitokeza kusema mtoto ni wake na si wa Gadner basi tuna assume ni mtoto wa Gadner hivyo Gadner anauwezo wa kuzalisha sasa je kwanini Jide hajawahi hata kusingizia kichefu chefu achilia mbali kulamba ndimu

Alafu tumia fonts ndogo all caps lock ni kama una shout...
 
wewe huna akili na kama ni mwanaume basi ndio waleeeeeeeee......coz huwezi kushinda mtandaoni kumsema mwanamke eti kisa hajazaaa.....acha wanawake wasemane ....sio wewe
 
wewe huna akili na kama ni mwanaume basi ndio waleeeeeeeee......coz huwezi kushinda mtandaoni kumsema mwanamke eti kisa hajazaaa.....acha wanawake wasemane ....sio wewe
Soma post yangu ya kwanza kabla sijaanza ku-reply hizo post alafu uniambie nani alianzisha mjadala wa kuzaa... Mimi nimemjibu kadri alivyouliza sasa si ukweli kwamba kwa hiyo miaka kumi na tano hajawahi kuzaa au ni uongo?
 
Alishakua na mimba ikatoka, Miezi 6,
Ila alipandikizwa, ndio ujue huyo mario mwenzio anamwaga ila harutubishi,

Ze Ndi Ndi Ndi[emoji16] [emoji16]
 

Hapo kwenye red nimekusoma .... kumbuka si kila jambo la mtu lazima liwekwe wazi ... Lady Jaydee kuwa na mtoto au kutokuwa naye si lazima uambiwe ... kuna watu katika ulimwengu huu ni wasiri kupita kiasi.... na hii ni sifa moja kubwa sana na nzuri mmmno mtu kuwa msiri.
 
Alishakua na mimba ikatoka, Miezi 6,
Ila alipandikizwa, ndio ujue huyo mario mwenzio anamwaga ila harutubishi,

Ze Ndi Ndi Ndi[emoji16] [emoji16]
La kupandikizwa huenda alikuwa hataki kuzaa na ndi ndi ndi ... tusiliongelee sana hilo....

Hivi kuna anayejua real history ya hawa watu au walio wengi mnacopy na ku-paste???
 
La kupandikizwa huenda alikuwa hataki kuzaa na ndi ndi ndi ... tusiliongelee sana hilo....

Hivi kuna anayejua real history ya hawa watu au walio wengi mnacopy na ku-paste???
Real History ipi labda,
Weka wazi ueleweshwe.
 
Real History ipi labda,
Weka wazi ueleweshwe.
Tangu kuzaliwa kwa kila mmoja, makuzi yao hadi hapo walipo??

Mfano ukisema unamfahamu Tutor B wakati umeanza kumsikia miaka 10 iliyopita unakuwa unajidanganya ...
 
Huyo mtu msiri ni yupi ?, huyu ropo ropo jide ambaye kila matatizo ya familia yake anakuja kutuimbia?

Hajawahi kuwa ma mimba tungejua tu
Cc everhurt
 
Hajawai kusema kama ana mtoto au lah! bora aulizwe yeye.
Huyo mtu msiri ni yupi ?, huyu ropo ropo jide ambaye kila matatizo ya familia yake anakuja kutuimbia?

Hajawahi kuwa ma mimba tungejua tu
Cc everhurt
Gadner tunajua anamtoto hivyo hatuna wasiwasi na nguvu zake za kiume

Sasa swali la kujiuliza ni Je Jide anamayai kweli?!, au ni Mgumba kweli?!
Tema mate chini ndugu, mi nimepita
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…