Kutana na maoni ya kushangaza ya Katiba mpya kama yalivyokusanywa na Tume ya Warioba

kuna ufala flani hv
Hapo ndio utajua kuwa Wananchi wengi hawajui chochote au hawaoni kama Katiba Ni kitu cha muhimu kwao.

Ndio maana agenda nyingi kuhusu zinazo pushiwa Zina maslahi ya watu wengine kabisa wachache.,
 
Naunga mkono hoja! Huu wimbo wa Taifa ni wa ku copy na ku paste kutoka South Afrika! Halafu una mashairi ya kipuuzi! Mfano ya kuliombea Bara la Afrika, Kuwaombea Viongozi Mafisadi wa CCM, nk.

Binafsi ningefurahi wimbo kama 'Tazama ramani', au 'Tanzania Tanzania.... Nakupenda kwa moyo wote'.....!! Mmojawapo ungeboreshwa mashairi yake/kufupishwa na hivyo kuwa Wimbo Mpya Taifa.

Hizi nyimbo mbili zimekaa kizalendo sana ukilinganisha na hiyo takataka ya sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…