mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,721
wacha ubish km kupe cc ndo tunaoish maeneo hayo,wewe umekuja hata miez 6 huna unabisha bisha t!Mkuu, kama wewe unafuata maji kwa Idd Azan, siyo wote wana muda huo.. Jamaa anauza maji kuwe/kusiwe na shida ya maji
Hahahahhahah.Hizo hesabu zako hazijazingatia mambo yafuatayo:
1.Yeye ananunua ndoo moja shilingi ngapi huko anakoenda kuchota?
Tuchukulie ananunua ndoo moja 200.
Ukichukua 200*50=10,000 kwa siku, 300,000 kwa mwezi. Kwahiyo toa 300,000 kutoka kwenye ile 750,000. Inabaki 450,000
2. Bili ya msosi na bia uliyoweka ni sawa na 9,000 kwa siku. Kwa mwezi ni 270,000. Ukitoa inabaki 180,000
3.Vyumba alivyopanga vitatu, kodi tuchukulie 60,000 kwa mwezi. Ukitoa inabaki 120,000
4.Nauli ya mtoto kwenda shule na hela ya kula, tuweke 1,000 kwa siku, 30,000 kwa mwezi. Hapo inabaki 90,000
5.Vocha, weka 500 kwa siku. 15,000 kwa mwezi. Inabaki 75,000
6.Mkaa, Mafuta taa, Gesi weka 2,000 kwa siku, 60,000 kwa mwezi. Inabaki 15,000
7. Matengenezo ya dumu likitoboka au baiskeli ikiharibika weka 5000 kwa mwezi. Inabaki 10,000
8.Weka ya saloon yeye na wife 5000 kwa mwezi. Inabaki 5000
9.Nauli nauli za bodaboda na daladala, weka 5000 kwa mwezi. Inabaki 0.
10. Huyo jamaa kakuona wewe mbumbumbu akakujaza ujinga na wewe ukaubeba bila kuhoji, hana kiwanja mbezi wala mfano wake
Huna akili,huyu anachkua maji kuanzia asubuh anachota anayapanga anakaa anacheza bao na kupiga stor huku anauza,wew unaamka sa kum na moja asubuh unapanda mwendokas kwa kugombania unafika ofisin unatumwaaa,unarud nyumban unafika sa moja,mwez mzima unalipwa lak5 ,una akil wew?maden kibao,.unamcheka mwenzio...wel,hawa kinachowashindaga ni uhifadh wa fedha tuu,..ila wangekua wanahifadh pesa pind waipatapo,watu wenye biashara hiz wanaingiza pesa nying sana,..mi mwenyew nna kasehem kangu ka nyama choma,kwa siku mauzo had lak3 napata,nkitoa gharama garama inabak kama 80 au 90 kwa siku,..mguu juu,vijana wanaleta pesa tuu mi nafanya biashara zingne,..na najua kwel kuhifadh pesa,..na usi imagine kipind hik cha magu nkakuonyesha risit yangu ya ATM salio litakutoa roho na utaacha hyo kaz ya lak5 msomi mzima kuanzia chekechea ha chuo kikuu unaondoka na lak5?Wewe jamaa hiyo kazi kuanzia saa 10 alfajiri hadi saa 3 usiku si Ni kifo hicho??
Then unapata 750,000!!
Bora huyo mwenye degree anayepewa take home ya 500,000
Hilo changa la macho!!!! Bado hajatuambia hayo maji anayapata bure au anayanunua!!!!
Mkuu unaingiza 1m kwa mwezi unajisifu una akili??Habar ndo hyo,mim nina bachelor tena ya UDSM na sio vyuo vya kata,na degree yangu ni 4yrs sasa utajua ni nondo gan nilisoma,..lakin us.enge wa kulipa chin ya 1mil.nilikataa,..nw busness zangu znaniingizia zaid ya mara 5 ya hyo in some weeks hata mwez haufik,..nan ana akil sasa hapo mim au wew,
Kumbe hata kusoma hujui,heb rejea tena andiko langu,..nimesema napata profit ya zaid ya 5mil kwenye biashara zangu ndogo ndogo na profit hii hata mwez haufiki,na nakwepa kodi vilevile,sasa nan mwenye akil hapoMkuu unaingiza 1m kwa mwezi unajisifu una akili??
hayo maji anachota bure?Salaam wakuu,
Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia magomeni makanya.
Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. Dumu moja anauza Shilingi 500.
Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta makanya kuyauza.
Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.
Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.
Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000.
Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi.. Hiyo ni take home.
Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.
Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.
Kwa sasa amenunua kiwanja huko mbezi na anajenga nyumba yenye Rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaid ya anachoingiza.
Kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.
Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha...
Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
Hayo maji anayapata bure?Salaam wakuu,
Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia magomeni makanya.
Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. Dumu moja anauza Shilingi 500.
Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta makanya kuyauza.
Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.
Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.
Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000.
Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi.. Hiyo ni take home.
Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.
Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.
Kwa sasa amenunua kiwanja huko mbezi na anajenga nyumba yenye Rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaid ya anachoingiza.
Kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.
Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha...
Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Yupo bwege mmoja alikuwa ananiuzia maji ya mandumu na mkokoteni.... Ikifika likizo anapanda ndege kwenda kwao..... Nilipogundua niliamua kwa roho mbaya nisinunue tena maji kwake. Yaani Mimi nilikuwa sijawahi kupanda ndege, afu bwege tu wewe unakula mwewe kwenda kwenu.
Kwanza mazoezi mazuri tu, pili anawapa maji raia ambayo ni uhai, tatu anatunza familia yake na kufanya maendeleo..hongera zake, nawajuwa 4 au 5 mitaa ya Sinza Lion Hotel na Queen of Sheba, wako kama huyu..
Hio ni semi trela Jo
Kumbuka mimi Nina bima ya afya, napata mkopo, na pensheni juu. Pamoja na hayo sijakubishia mkuu acha kila mtu apambane na hali yake.
Sent using Jamii Forums mobile app