Kutana na Mzee mwenye "nyaraka" za TANU anayeona kasahauliwa mchango wake kupigania Uhuru

Kutana na Mzee mwenye "nyaraka" za TANU anayeona kasahauliwa mchango wake kupigania Uhuru

barafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
6,739
Reaction score
32,880
Mzee huyu(jina limehifadhiwa) ni miongoni mwa wanachama wa TANU mkoani mtwara kwenye miaka ya 1950. anaishi mtwara maeneo ya Kijiji Cha Kianga nje kidogo MJINI Mtwara. amehifadhi barua nyingi sana ambazo zilikuwa kikiandikwa kwa wakati huo. ukweli ni kwamba ukipata kuziona barua hizo utafurahi na kushangaa sana jinsi mikutano ya TANU ilivyokuwa. karibuni mumtembelee mzee huyu mpate kujifunza mambo mengi ya TANU kwa wakati huo

Mzee huyu ni hazina kubwa sana,hasa kwa kuweka kumbukumbu sahihi ya Historia ya Taifa hili,ama hakika haishii kusimulia tu mambo ya harakati za uhuru,bali ana nyaraka kabisa alizotunza na kuziweka kwa umakini sana.Taifa langu Mama Tanzania kwanini wazee kama hawa hazina ya Taifa mnawatekeleza??Kwanini historia hii adhimu tunashindwa kuweka kwa vizazi vijavyo??

Cc Mohamed Said Matola Ngongo
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    185.6 KB · Views: 63
  • image.jpeg
    image.jpeg
    310.2 KB · Views: 63
  • image.jpeg
    image.jpeg
    272.6 KB · Views: 61
  • image.jpeg
    image.jpeg
    243.5 KB · Views: 56
Siku hizi mwambie watoto wao wanajua kupiga deal za mahela marefi hawana habari na walipotoka nako ni wapi, na cha kushangaza wameshinda kutambua wanaipeleka wapi nchi wako wanahang hang tu kama mashati yaliyotundikwa kwenye namba huku yakipulizwa na upepo.
 
Mzee huyu(jina limehifadhiwa) ni miongoni mwa wanachama wa TANU mkoani mtwara kwenye miaka ya 1950. anaishi mtwara maeneo ya Kijiji Cha Kianga nje kidogo MJINI Mtwara. amehifadhi barua nyingi sana ambazo zilikuwa kikiandikwa kwa wakati huo. ukweli ni kwamba ukipata kuziona barua hizo utafurahi na kushangaa sana jinsi mikutano ya TANU ilivyokuwa. karibuni mumtembelee mzee huyu mpate kujifunza mambo mengi ya TANU kwa wakati huo

Mzee huyu ni hazina kubwa sana,hasa kwa kuweka kumbukumbu sahihi ya Historia ya Taifa hili,ama hakika haishii kusimulia tu mambo ya harakati za uhuru,bali ana nyaraka kabisa alizotunza na kuziweka kwa umakini sana.Taifa langu Mama Tanzania kwanini wazee kama hawa hazina ya Taifa mnawatekeleza??Kwanini historia hii adhimu tunashindwa kuweka kwa vizazi vijavyo??

Cc Mohamed Said Matola Ngongo View attachment 372392View attachment 372393View attachment 372394View attachment 372398
Barafu,
Nyaraka nyingi sana za TANU ziko katika mikono ya watu binafsi.
Inahitajika zikusanywe na kuhifadhiwa.
 
Mkuu barafu labda utujuze huyu mzee anataka nini khaswa pengine nyumba,fursa za biashara,cheo pengine mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa au balozi au kupelekwa shule ?.Maana kusahauliwa kunataka ufafanuzi maridhawa.
 
Back
Top Bottom