ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Philip Jones alisajiliwa na aliyekuwa kocha wa Man Utd, Sir Alex Ferguson mwaka 2011. Kipindi hiko akiwa kinda akichezea Blackburn Rovers.
Alitajwa kama mchezaji bora katika nafasi ya ulinzi wa kati kwa siku za usoni.
Phil Jones akaanza kuandamwa na majeraha ya mara kwa mara. Nafasi yake ya kucheza ikawa shakani.
Mwaka 2013 Phil Jones na Man Utd ikatwaa taji la EPL na Sir Alex Ferguson akastaafu.
Baada ya hapo akaanza majeraha ya mara kwa mara, anacheza kidogo muda mwingi yupo nje ya uwanja.
Wakaja mabeki mbalimbali wakamkuta Phil Jones na wakaondoka wakamuacha jamaa palepale Man Utd.
Mabeki kama Marcos Rojo, Daley Blind, Eric Bailly, na wengineo wakaja Man Utd mpaka wanaondoka jama awamemuacha na hachezi.
Phil Jones amenusurika kuuzwa chini ya makocha kadhaaa kama vile, Moyes, Van Gaal, Mourinho, Ole Gunnar, Carrick, Rangnick na hata Giggs (kaimu kocha wa muda) na sasa Erik ten Hag.
Kwanini ananusurika? Kila inapofika majira ya kiangazi( wakati wa uhamisho wa dirisha kubwa la usajili ) Phil Jones yeye daima huwa ni majeruhi. Hivyo inakuwa ngumu kuuzwa kwake.
Sasa mkataba wake unaelekea ukingoni pengine anaweza akaondoka kama mchezaji huru, mara ya mwisho kuchezea Man Utd ni mwezi April mwaka jana.
Huyu ndio Legendary Phil Jones, watu mpaka washaanza kumsahau kama anachezea Man Utd😂😂
Alitajwa kama mchezaji bora katika nafasi ya ulinzi wa kati kwa siku za usoni.
Phil Jones akaanza kuandamwa na majeraha ya mara kwa mara. Nafasi yake ya kucheza ikawa shakani.
Mwaka 2013 Phil Jones na Man Utd ikatwaa taji la EPL na Sir Alex Ferguson akastaafu.
Baada ya hapo akaanza majeraha ya mara kwa mara, anacheza kidogo muda mwingi yupo nje ya uwanja.
Wakaja mabeki mbalimbali wakamkuta Phil Jones na wakaondoka wakamuacha jamaa palepale Man Utd.
Mabeki kama Marcos Rojo, Daley Blind, Eric Bailly, na wengineo wakaja Man Utd mpaka wanaondoka jama awamemuacha na hachezi.
Phil Jones amenusurika kuuzwa chini ya makocha kadhaaa kama vile, Moyes, Van Gaal, Mourinho, Ole Gunnar, Carrick, Rangnick na hata Giggs (kaimu kocha wa muda) na sasa Erik ten Hag.
Kwanini ananusurika? Kila inapofika majira ya kiangazi( wakati wa uhamisho wa dirisha kubwa la usajili ) Phil Jones yeye daima huwa ni majeruhi. Hivyo inakuwa ngumu kuuzwa kwake.
Sasa mkataba wake unaelekea ukingoni pengine anaweza akaondoka kama mchezaji huru, mara ya mwisho kuchezea Man Utd ni mwezi April mwaka jana.
Huyu ndio Legendary Phil Jones, watu mpaka washaanza kumsahau kama anachezea Man Utd😂😂