Kutana na staa wa 'Maisha Plus' Efrancyah

kwanini huyu dada amepiga hizi picha, anajiuza au nini? lengo lake ni nini kupiga picha kama izo afu mnaziweka hapa?
 
Kitimoto @ its best: Watanzania mtangundua lini kuwa mnahatarisha maisha yenu kwa kuwa na miili ya uzembe? Mnakula vyakula vichafu halafu mnakuwa na miili ya kutepeta (minyama uzembe)! Kuna jamaa nilikutana naye tegeta jana(tulikuwa tuna kama mwaka hivi hatujaonana) amekuwa na kitambi kama mwanamke mwenye ujauzito wa triplets! Halafu yeye anajisikia saaafi sana - Amevaa "blauzi" ili kionekanae vizuri!
 
kweli ni mrembo lkn unene hatarishi huu kiafya!
na hizi picha cjui alizipiga akitafuta nini!!:mad2:
 
hahahaaa,nimecheka saaana!yupo kama mdoli vile....i hope she is physically fit...manake an aprox. 300kg kama sikosei...thats too much for her heart and legs to carry..lol
 
Analipa ila lazima ufunge turbo kupambana nae kwenye gemu!!
 
hee dada,duuuu....hatariii....,heshima yako inashuka
 
Jamani - obesity ni ugonjwa - mwoneeni huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…