Kutana na Toyota Rumion New Model 7seater

Hiyo Rumion new model ni habari nyingine. Niliziona mbili Unguja, hauwezi kabisa kufikiri ni toleo jipya la Rumion kama usipoona maandishi. Zimekaa vizuri sana.
 
New model zipo nyingi Kwa wahindi mitaa ya upanga na kisutu.... Toyota sometimes wanazingua sana hiyo gari inafanana Sana na RAV 4 new model.
Sijaona jipya kutoka kwenye hiyo gari
Mkuu ili twende sawa na wewe mtu wa magari njoo na model ya hiyo gari mwaka wake ukisema new model harafu toleo la nyuma hata sielewi maana hawa Rav 4 nao kila mwaka wanatoa zaidi ya gari moja au mbili...
 
Mkuu ili twende sawa na wewe mtu wa magari njoo na model ya hiyo gari mwaka wake ukisema new model harafu toleo la nyuma hata sielewi maana hawa Rav 4 nao kila mwaka wanatoa zaidi ya gari moja au mbili...
Ni kweli rav 4 zipo matoleo mengi ila hizi za mwaka 2015 zimefanana Sana na rumio new model...
Ni Bora uchukue hii RAV4 itakufaa zaidi
 
Sijajua kwa nini hii gari inafananishwa na rav4, ji class mbili tofauti, Rav4 ni SUV hii rumion ni station wagon. Ground clearance ni tofauti, design ni tofauti na walengwa ni tofauti.
Binafsi siipendi (ila hii chaguo binafsi) na imefanana sana na SUZUKI ERTIGA, sijui nami kamuiga meenzie
 


Hata nyuma hii na Rumion zinafanana sana. Bila shaka kuna mmoja alikuwa inspired na mwingine au ni gari moja wanajua walichokifanya kibiashara

Update: nimesoma mahali ni gari moja imekuwa rebadged, Rumion ndiyo imechukua toka kwa Suzuki Ertiga
 

Mkuu uko sahihi[emoji817]

Juzi nmekutana nayo Suzuki Ertiga
Ilibidi ni google maana nliona imefanana na Rumion new

Zinafanana mpk taa za nyuma ni kama Allion vs premio


Hawa suzuki kuna namna wanafanya kazi na toyota?

Maana pia kuna Toyota Urban imefanana na Suzuki kila kitu sijui wanakuwa na agenda gani?
 
Hiyo Rumion new model ni habari nyingine. Niliziona mbili Unguja, hauwezi kabisa kufikiri ni toleo jipya la Rumion kama usipoona maandishi. Zimekaa vizuri sana.

Tumezoea new model ni modification design ya previous version lkn hapa wamekuja kitofauti kabisaaa[emoji28][emoji28][emoji28]

Sizani kama kuna gari ambayo imetofautiana kiasi kikubwa kwa design kulinganisha na tolea la nyuma kama Rumion
 
Hiyo ndiyo gari sasa,hizi wanaziita "buti la jeje" sijawahi hata kuuelewa huo muonekana.
 
Mkuu picha kanaonekana kazuri sijajua na hii ina uso kama kambale kama rumion zilizojaa mtaani au imestaraabika.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…