Kutana na Ulinzi hatari wa Grand P huko Guinea

Hakana kazi wala hela wanakapromoti, kanatumika kama matangazo ya wadada wanaotaka kufahamika kwa haraka hasa wenyewe Makalio makuuubwa
 
Hakana kazi wala hela wanakapromoti, kanatumika kama matangazo ya wadada wanaotaka kufahamika kwa haraka hasa wenyewe Makalio makuuubwa
[emoji1485]Grand P is one of the richest artists in Guinea, His success in the entertainment industry is enviable and his fanbase is very supportive. His net worth is estimated to be around $100,000 as of 2021. He is indeed a wealthy musician and politician with multiple sources of income.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Net worth $100,000?! Ndo tajiri?! Hii hata 300M haifiki au kuna sifuri zimesahaulika kwenye hiyo figure?!
 
Huu uchawi kabisa
 
Yaani dola laki moja ndo tajiri...hiyo nchi ni ya kuiombea
 
Hakana kazi wala hela wanakapromoti, kanatumika kama matangazo ya wadada wanaotaka kufahamika kwa haraka hasa wenyewe Makalio makuuubwa
Kwa hiyo ni kama chikubalanga sijui nani
 
Dogo ana hela ntaweka link badae anakadiria net worth around $12 million
 
Net worth $100,000?! Ndo tajiri?! Hii hata 300M haifiki au kuna sifuri zimesahaulika kwenye hiyo figure?!
yani mnaona hiyo sio pesa ?, kweli tunatofautiana maisha,mimi nimeona ni pesa nyingi sana hiyo, anyway,hako kajamaa ni ka artist huko kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…