Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Duniani kila mtu anapata wa kufanana naye na huu msemo kwangu mimi naendelea kuushikiria vizuri sana.
Sasa leo tujifunze kitu kupitia simulizi nzuri sana ya wanandoa hawa wawili ambao wote ni vipofu lakini wameonyeshana upendo wa kweli na kazi wanayoifanya inafanan na wanafanya kwa juhudi zote.
==========================
Wapenzi hawa… Andindilile Mwakifumbwa (52) na mkewe, Upendo Tebela (37) wameudhihirishia umma kwa mapenzi si upofu…wameamua kuishi pamoja kama mke na mume licha ya upofu walionao.
Katika maisha yao ya ndoa wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa miezi 11 sasa, ambaye amepewa jina la Agape, wakirejesha shukrani kwa Mwenyezi Mungu.
Kwa sasa wanajishughulisha na ushonaji wa vitu mbalimbali ili kujiingizia kipato.
Sasa leo tujifunze kitu kupitia simulizi nzuri sana ya wanandoa hawa wawili ambao wote ni vipofu lakini wameonyeshana upendo wa kweli na kazi wanayoifanya inafanan na wanafanya kwa juhudi zote.
==========================
Wapenzi hawa… Andindilile Mwakifumbwa (52) na mkewe, Upendo Tebela (37) wameudhihirishia umma kwa mapenzi si upofu…wameamua kuishi pamoja kama mke na mume licha ya upofu walionao.
Katika maisha yao ya ndoa wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa miezi 11 sasa, ambaye amepewa jina la Agape, wakirejesha shukrani kwa Mwenyezi Mungu.
Kwa sasa wanajishughulisha na ushonaji wa vitu mbalimbali ili kujiingizia kipato.