Uchaguzi 2020 Kutangaza ajira katika ya kampeni ni Rushwa

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Ahadi ya Rais ya kuajiri walimu ni rushwa ya waziwazi. Alitakiwa aseme akichaguliwa tu, anaanza kuajiri hao walimu Novemba baada ya kuapishwa.

Tutegemee mengi ndani ya muda huu mfupi kama kupandisha madaraja na increment.

TAKUKURU mna ubavu wa kulishughulikia hili?
 
Ukiajiriwa usiende kuripoti, usitume maombi.

Acheni ujinga.

Kula kwa Rungwe, kura kwa magu
 
Kwa hiyo kazi za serikali zisimame?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…