Kutangaza na Jamii Forums

Kutangaza na Jamii Forums

Psiteshio72

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
634
Reaction score
442
Habari zenu JF expert members.

Nahitaji kujua kutangaza na Jamii Forums gharama zake (kama ni Admin/mod inbox Kwa maelezo zaidi) na wewe mwingine share ujuzi wako kuhusu kutangaza na Jamii Forums.

Asante
 
Nipo Huku Omurushaka Ngoja Nami Nipate Jibu Hapa Hapa
 
Hello,

Matangazo on JamiiForums ni TZS 1 kwa kila tangazo linapoonekana (a single view). Unaamua unatumia bajeti kiasi gani na kwa muda gani.

ILANI: Matangazo yanayohusiana na KUTOA MIMBA, BETTING na ANY ILLEGAL ACTIVITY kidogo yana changamoto kuyaweka JF.

Karibuni sana
 
Hello,
Matangazo on JamiiForums ni TZS 1 kwa kila tangazo linapoonekana. Unaamua unatumia bajeti kiasi gani na kwa muda gani.
ILANI: Matangazo yanayohusiana na KUTOA MIMBA, BETTING na ANY ILLEGAL ACTIVITY kidogo yana changamoto kuyaweka JF.

Karibuni sana
Ahsante kwa muongozo
 
Hello,

Matangazo on JamiiForums ni TZS 1 kwa kila tangazo linapoonekana (a single view). Unaamua unatumia bajeti kiasi gani na kwa muda gani.

ILANI: Matangazo yanayohusiana na KUTOA MIMBA, BETTING na ANY ILLEGAL ACTIVITY kidogo yana changamoto kuyaweka JF.

Karibuni sana
Nikiwa na tangazo na nitumie njia gani kuleta tangazo.Na litakaa upande gani.
 
Hello,

Matangazo on JamiiForums ni TZS 1 kwa kila tangazo linapoonekana (a single view). Unaamua unatumia bajeti kiasi gani na kwa muda gani.

ILANI: Matangazo yanayohusiana na KUTOA MIMBA, BETTING na ANY ILLEGAL ACTIVITY kidogo yana changamoto kuyaweka JF.

Karibuni sana
Kwa nini umeanza na kutoa mimba na si mfano mwingine?
 
Hello,

Matangazo on JamiiForums ni TZS 1 kwa kila tangazo linapoonekana (a single view). Unaamua unatumia bajeti kiasi gani na kwa muda gani.

ILANI: Matangazo yanayohusiana na KUTOA MIMBA, BETTING na ANY ILLEGAL ACTIVITY kidogo yana changamoto kuyaweka JF.

Karibuni sana
Ila Matangazo ya Betting yana hela sana jitahidini Muyaweke hata hivyo kubet si dhambi.
 
Back
Top Bottom