Kutangulia sio.kufika

Kutangulia sio.kufika

cha1509

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
258
Reaction score
402
Nipo kwenye screen naangalia mech ya Simba na soura,
Half time ,soura anaongoza kagoli kamoja, lakini mnyama wa mwituni bado anawinda, atamkamata tu mwarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
niko naona marudio hapa simba anaweza shinda kama watabadirika leo ila naona kikosi kimeanza kama cha jana itakua hawajajifunza hawa
 
Back
Top Bottom