Kutapatapa kwa Joyce Kiria; wanawake laivu yakimbiwa na wadhamini,ajikomba warudi

Kutapatapa kwa Joyce Kiria; wanawake laivu yakimbiwa na wadhamini,ajikomba warudi

iparamasa

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
13,437
Reaction score
14,927
Habari za uhakika ni kwamba wadhamini wa kipindi cha wanawake laivu wameacha kukidhamini kipindi hicho

Katika hali yakubabaika mwanadada huyo kageukia chama cha mapinduzi ili kimsaidie na kama hatua ya awali amesema atafanya kazi na serikali ya awamu ya tano

Njaaa ni hatari,pole kilewo,kosea kingine usikosee kuoa
 
Joyce Kiria ni nani? Nini sababu ya kukimbiwa na wadhamini? Nini sababu ya kutangaza uhusiano na serikali ya awamu ya 5? Je, awamu iliyopita hakuikubali? Uhusiano wa Kilewo na kuoa ni nini?

Jaribu kueleza vizuri ili kila msomaji aelewe kinachoelezwa hapa. Siyo wote wanaishi TZ na siyo wote wanamfahamu huyo Joyce.
 
Habari za uhakika ni kwamba wadhamini wa kipindi cha wanawake laivu wameacha kukidhamini kipindi hicho

Katika hali yakubabaika mwanadada huyo kageukia chama cha mapinduzi ili kimsaidie na kama hatua ya awali amesema atafanya kazi na serikali ya awamu ya tano

Njaaa ni hatari,pole kilewo,kosea kingine usikosee kuoa
Kwa hiyo nyie mlipanga kutofanya kazi na serikali? Sasa ngoja tuone tarehe 1sept.
 
Unaweza kuitwa kamanda na sifa kede kede na chadema, lakini siku ukitofautiana nao utaanza tukanwa na kusemwa we msaliti na mengine kama vile sio wao waliokuwa wanakuita kamanda.
Imetokea kwa slaa ma mshumbusi, zitto, mpendazoe, sasa kwa joyce.
 
hahah ila joyce hana siri.... kumbe chadema alipokwama wakati mmewe yupo kifungoni hawakumsaidia zaidi walikuwa wanasema "komaa kamanda"[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Na safari wamepanga kumtanguliza mbele mumewe amewashitukia...
 
Back
Top Bottom