Habarini wana JamiiForums,
Miezi mi tatu iliyopita nilinunua kiwanja maeneo ya Bunju kutoka kwa mzee mmoja aliyekua anakata viwanja kutoka kwenye shamba lake kubwa na kuviuza vipande vipande kwa watu,sasa tatizo lililo nikuta mwezi ulipita nilienda ofisi za watu ardhi (survayers)ili wanipe mchakato wa nini kinatakiwa ii niweze kurasimisha kiwanja changu yani kupata hati nikaambatana nao hadi kwenye eneo langu ili kuchukua coordinates ndipo hapo kugundua kua yule mzee aliniuzia kiwanja kwenye shamba ambalo lilikua na hati yayani haikua squatter bali eneo ambalo lilikwisha pimwa na lilikua na hati ya wizara.
Sasa hawa ma savayer walicho niambia ni ili niweze kufanikisha zoezi la kupima kiwanja changu inatakiwa ni mtafute yule mzee aniandikie barua ya kusurrender ile hati yake ya mwanzo pamoja na copy zetu za makaratasi ya mauziano zikiambatana na copy ya hati ya huyo mzee.
Sasa nimejaribu kumtafuta muuzaji zaidi ya mara tano kumuelezea kua nahitaji hizo document lakini naona hanipi majibu ya kuelewka kila nikimtafuta ananiambia mara wiki ijayo mara mwezi mpaka hivi sasa amekua hapokei simu zangu kabisa naombeni msaada wa nini naweza kufanya ili kupata hizo document na hatimaye niweze kupima kiwanja changu maana naona nimetapeliwa
Miezi mi tatu iliyopita nilinunua kiwanja maeneo ya Bunju kutoka kwa mzee mmoja aliyekua anakata viwanja kutoka kwenye shamba lake kubwa na kuviuza vipande vipande kwa watu,sasa tatizo lililo nikuta mwezi ulipita nilienda ofisi za watu ardhi (survayers)ili wanipe mchakato wa nini kinatakiwa ii niweze kurasimisha kiwanja changu yani kupata hati nikaambatana nao hadi kwenye eneo langu ili kuchukua coordinates ndipo hapo kugundua kua yule mzee aliniuzia kiwanja kwenye shamba ambalo lilikua na hati yayani haikua squatter bali eneo ambalo lilikwisha pimwa na lilikua na hati ya wizara.
Sasa hawa ma savayer walicho niambia ni ili niweze kufanikisha zoezi la kupima kiwanja changu inatakiwa ni mtafute yule mzee aniandikie barua ya kusurrender ile hati yake ya mwanzo pamoja na copy zetu za makaratasi ya mauziano zikiambatana na copy ya hati ya huyo mzee.
Sasa nimejaribu kumtafuta muuzaji zaidi ya mara tano kumuelezea kua nahitaji hizo document lakini naona hanipi majibu ya kuelewka kila nikimtafuta ananiambia mara wiki ijayo mara mwezi mpaka hivi sasa amekua hapokei simu zangu kabisa naombeni msaada wa nini naweza kufanya ili kupata hizo document na hatimaye niweze kupima kiwanja changu maana naona nimetapeliwa