kichefuchefu au kutapika ni hali ya kawaida kwa wajawazito...inapotea baada ya miezi 3 ya mwanzo,ni vizuri kama mnaweza kuvumilia mpaka hali hio ipite..dawa unayoweza kutumia metoclopramid /afipran:10mg,mara tatu kwa siku(usitumie kwenye 3rd trimester/miezi mitatu ya mwisho ya ujauzito!