kunapost moja niliisoma kuna mshauri alisema inatokana na kukaa kwenye location amabayo si nzuri yaani hutakiwi kukaa nyuma ya gari au hata kwenye dirisha maana utakuwa unaona mti ina tembea kwa kasi na itapelekea wewe kusababisha system ya mwili kutokuwa kwenye normal na kupelekea kutapika. naomba uitafute ni muda kitambo
kunapost moja niliisoma kuna mshauri alisema inatokana na kukaa kwenye location amabayo si nzuri yaani hutakiwi kukaa nyuma ya gari au hata kwenye dirisha maana utakuwa unaona mti ina tembea kwa kasi na itapelekea wewe kusababisha system ya mwili kutokuwa kwenye normal na kupelekea kutapika. naomba uitafute ni muda kitambo