Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,595
- 3,670
Habari zenu waungwana
Mwenzenu nimekuwa na hili tatizo la kuteguka bega, ni ngumu kidogo kuielezea hii hali ila nitajitahidi kadri ya uwezo
Iko hivi, tatizo hili mara ya kwanza kunitokea nilikua form 3 mwaka 2005 nilikua nafanya mazoez ya kurusha mikono km mtu anaempiga mtu vibao ghafla mkono pale sehemu ya bega ikateguka na bega likahama sehem yake na kurudi kwa nyuma ikiambatana na maumivu makali,kwa sababu niliogopa basi nikashika mkono huo ulioteguka na kuurudisha kwa nguvu na ukarudi kisha nkaskia maumivu makali
Sasa hii hali imekua ikiendelea kunitokea japo sio mara kwa mara ila kwa mwaka inaeza kunitokea mara 2 mpk 3,kuna mara ishakua ikinitokea usiku nikiwa nimelalia ule mkono nkistuka ghafla mkono unateguka na mara nying hutokea pale napokua nafanya baadh ya mazoez,nataman niendelee kuelezea ila naona km nitawachosha na makala
Nahitaji kuliondoa hili tatizo mana inaponitokeaga napataga maumivu makali kupita kiasi na baada ya hapo siku nzima huo mkono unakuwa na maumivu ya mbali
Mwenzenu nimekuwa na hili tatizo la kuteguka bega, ni ngumu kidogo kuielezea hii hali ila nitajitahidi kadri ya uwezo
Iko hivi, tatizo hili mara ya kwanza kunitokea nilikua form 3 mwaka 2005 nilikua nafanya mazoez ya kurusha mikono km mtu anaempiga mtu vibao ghafla mkono pale sehemu ya bega ikateguka na bega likahama sehem yake na kurudi kwa nyuma ikiambatana na maumivu makali,kwa sababu niliogopa basi nikashika mkono huo ulioteguka na kuurudisha kwa nguvu na ukarudi kisha nkaskia maumivu makali
Sasa hii hali imekua ikiendelea kunitokea japo sio mara kwa mara ila kwa mwaka inaeza kunitokea mara 2 mpk 3,kuna mara ishakua ikinitokea usiku nikiwa nimelalia ule mkono nkistuka ghafla mkono unateguka na mara nying hutokea pale napokua nafanya baadh ya mazoez,nataman niendelee kuelezea ila naona km nitawachosha na makala
Nahitaji kuliondoa hili tatizo mana inaponitokeaga napataga maumivu makali kupita kiasi na baada ya hapo siku nzima huo mkono unakuwa na maumivu ya mbali