Tetesi: Kutekwa Watu Jijini Mwanza

Tetesi: Kutekwa Watu Jijini Mwanza

FakeGirl Naomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2017
Posts
226
Reaction score
705
Jamani kuna tetesi nimezipata toka kwa rafiki yangu aliyeko jijini Mwanza kwamba kuna wimbi la utekaji wa watu. Nasema ni tetesi na sijajua vyema kama kuna ukweli au la.

Ila nilisikia Clouds kama wiki moja ilopita kwamba kuna upigaji nondo huko huko jijini Mwanza. Pliz mliopo huko tupeni taarifa zaidi coz nina kilikizo kidogo nilitaka kwenda kuogelea ziwani.

Ni serious jamani, Naombeni info nisijepatwa na ya kupatwa


Watu wa Nyegezi, Mkolani, SAUT na maeneo mengine ya Nyamagana, Hebu nitoeni hofu nisijekosa nafasi ya kuja kuliona Ziwa letu pendwa kwa habari za KUZUSHA.

NAWASILISHA ,,,!!
 
Post kama hiz za tetes usiku zinadumu sana kukikucha tu huion tena
 
Nondo zinapigwa sn mtaa wa NYEGEZI.

Takribani mwezi 1 sasa. Watu kama 4 hadi 5 hivi wamekufa.

Una pigwa nondo ukiwa una landalanda usiku saa 5 hivi hadi 11 alfajiri. Nadhani wanasaka hela, si unafahamu tena VYUMA!! Naskia nondo ni kumbwa sn kati mm 20 na mm 30. Wakikugonga hubaki.

Hii 11 alfajiri wanategea Bodaboda na watembea kwa miguu wanao wahi Job na Usafiri wa Mabasi.

Uvamizi ndani ya nyumba pia ni mwingi sn maeneo ya NYEGEZI.

Wiki iliyo pita kuna mzee pia kapigwa NONDO, NYAMAZOBE akienda kusali alfajiri Kanisa la RC Nganza.

Cha kushanganza INTELLIGENCIA ya Tz ni ya mikutano ya CHADEMA tu. Ila MADIWANI wa CHADEMA na viongozi wao hu uwawa, watu kutekwa hadharani, afu ndio uchunguzi!! Una faida gani ili hali watu walishapoteza maisha?

Tujikite ktk Intelligencia ya kuzuia uharifu kabla ya kutokea.
 
Daaaaah inauma sana they kill my hero for sure. Alikuwa anaenda kusali nyabulugoya asubuhi wakamuua aisee. OK MUNGU ni mwema vyombo vya ulinzi daaaah,
5f15b0cac888631a684051406c6f328e.jpg
 
Jamani kuna TETESI nimezipata toka kwa rafiki yangu aliyeko jijini Mwanza kwamba kuna wimbi la UTEKAJI wa watu. NASEMA NI TETESI na sijajua vyema kama kuna ukweli au la.

Ila nilisikia Clouds kama wiki moja ilopita kwamba kuna UPIGAJI NONDO huko huko jijini Mwanza. Pliz mliopo huko tupeni taarifa zaidi coz nina kilikizo kidogo nilitaka kwenda kuogelea ziwani.

Ni SERIOUS jamani, Naombeni info nisijepatwa na ya kupatwa


Watu wa Nyegezi, Mkolani, SAUT na maeneo mengine ya Nyamagana, Hebu nitoeni hofu nisijekosa nafasi ya kuja kuliona Ziwa letu pendwa kwa habari za KUZUSHA.


NAWASILISHA ,,,!!

Hivi Mkoa wa Mwanza hivi sasa una Wabunge wengi wa Upinzani? Tuanzie hapa Kwanza tafadhali.
 
Watu mnaokuja Mwanza kuweni makini sana hasa maeneo ya Nyegezi hata bodaboda usimwamini. Kuna mmoja kalizwa balaa nimekutana naye leo.
 
Mimi mpaka muda huu Niko Mwanza maeneo ya buzuruga nilikuwa sijalisikia hili lkn itabidi niwe makini sasa!
Asante mleta uzi
 
Watu mnaokuja Mwanza kuweni makini sana hasa maeneo ya Nyegezi hata bodaboda usimwamini. Kuna mmoja kalizwa balaa nimekutana naye leo.


Ungeweka wazi amelizwaje mkuu.
 
Kama ni hivyo, Hali si salama.

Poleni sana
 
Jamani kuna TETESI nimezipata toka kwa rafiki yangu aliyeko jijini Mwanza kwamba kuna wimbi la UTEKAJI wa watu. NASEMA NI TETESI na sijajua vyema kama kuna ukweli au la.

Ila nilisikia Clouds kama wiki moja ilopita kwamba kuna UPIGAJI NONDO huko huko habari za KUZUSHA.


NAWASILISHA ,,,!!
Upo mwanza sehemu gani???
 
Back
Top Bottom