Kutembea na mke wa mtu ofisi moja

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
7,621
Reaction score
12,505
Sheria inasemaje kuhusu mtumishi ambaye ni mwalimu mkuu kutembea na mke wa mtu mwalimu wanafanyakazi shule moja
 
Sheria za utumishi na ajira zinakataza kabisa kuwa na uhusiano na mfanyakazi mwenzako ......kama imetokea hivyo nenda katoe mashitaka kwa Mkurugenzi au Afisa Elimu wa Mkoa.
 
Sheria inasemaje kuhusu mtumishi ambaye ni mwalimu mkuu kutembea na mke wa mtu mwalimu wanafanyakazi shule moja
Hilo liko wazi kuwa ni kosa la jina au (Sexual harassment) hata kama wameelewana kwani huwezi jua kuwa huyo mwanamke amekubali kufanya hivyo ili apate favour fulani.
 
Hilo liko wazi kuwa ni kosa la jina au (Sexual harassment) hata kama wameelewana kwani huwezi jua kuwa huyo mwanamke amekubali kufanya hivyo ili apate favour fulani.
kuna rape hapo kama amelazimishwa kufanya naye ngono ili apate favour. cha muhimu ni kwamba, huyo mke anafanya mapenzi naye kwa hiari au bila hiari. kama anafanya kwa hiari, hakuna kosa.
 
kama umemjua anafanya hivyo malizana nae kiutu uzima..maana mpaka uthibitishe ndo upate fidia!!!
 
Sheria za utumishi na ajira zinakataza kabisa kuwa na uhusiano na mfanyakazi mwenzako ......kama imetokea hivyo nenda katoe mashitaka kwa Mkurugenzi au Afisa Elimu wa Mkoa.
Mkuu hebu fafanua zaidi "mahusiano" sababu nishashuhudia harusi kibao za watu wa ofisi moja!!!!
 
Sheria inasemaje kuhusu mtumishi ambaye ni mwalimu mkuu kutembea na mke wa mtu mwalimu wanafanyakazi shule moja
kwa mwizi wa mke, sio kosa la jinai, ila mwenye mke anaweza kukufungulia madai umlipe fidia kulingana na vile alivyoathirika na wewe kutembea na mkewe. hii ni kwasababu, mke kama umri wake ni wa utu uzima, ni mtu mwenye maamuzi ya hiari/binafsi hivyo akichepuka inaonekana amechepuka kwa hiari yake kwani yeye sio mtoto. hakuna kosa la jinai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…