Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli mkuu lakini kutendwa hakuzoelekiNaongea kwa experience mkuu...
This is fact. The more you get used to "kutendwa", the less painful it becomes...
This is fact. The more you get used to "kutendwa", the less painful it becomes...
Kwa sie ambae we always LOVE the same way with both our feet hapo... It pains the same way, if possible mo'
...i disagree ....!
labda mwenzenu napenda tofauti na wenzangu...
it hurts the same bana...unless huingii mzima mzima kama nifanyavyo [ninavyokosea?]...
Kusema cha ukweli mkuu (kwa maoni yangu), unakosea. Kuna mambo ya kuamini 100%, sio mwanamke...
take them easy, take them simple...
...dahhh, nisipompenda na kumuamini mwanamke wangu nitampenda nani tena jamani,...
bahati mbaya/nzuri,...heartbreaks zangu zote makosa hayafanani...
inajionyesha wazi they are not the same... ila the last in line kwakweli amenitenda mbaya sana...nimeingia akili.
Unajua kwa wanaume kuna msemo (nadhani hata kwa wanawake unaapply) kuwa wanawake ukishawazoea hawakusumbui. Ila ukijifanya loverboy, utaumbuka...
Pole mkuu... naamini umejifunza kutokana na makosa...
Hiyo ni misemo ikisimamia wale ambao sio wa muhimu kama vile one night stands... Hapa nasemea ile falling in love... Tuko Moyo ambao mwenyezi Mungu kaujalia kupenda.. hupenda again and again and again, hivo hizo heartbreaks zikitokea waumia... Na post yangu ya kwanza nasema yawezekana more tokana na the simple fact kua unapo fall in love when young kidogo uko stupid hivi... Ukiwa grown up you fall in love maturely - thus bana yakivunjika hapo..... Dah!