Kutengua sheria

Kutengua sheria

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Wanasheria tunaomba msaada. Hivi ni utaratibu gani unatumika kubadili sheria kama ya fao la kujitoa. Kabaka katangaza bungeni na SSRA wametoa taarifa magazetini. unatengua sheria ya bunge kwa kutangaza magazetini na bungeni au bunge ndilo linatengua
 
Back
Top Bottom