ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,340
- 4,069
Serikali imeonyesha kufaulu kwenye kuidhibiti dola ya marekani lakini tunaona uchawi wetu wa kiafrika bado upo. Kuna taasisi nchini tena wapo chini ya serikali bado wana rate kwa dola na wana taka ulipe kwa dola.
Naona muheshimiwa Rais ana dhamira ila baadhi ya taasisi hazimuungi mkono kwa ubunifu wao kiutendaji wanasubiri aseme.
Nilitegemea BOT ingepiga marufuku matumizi ya dola kwenye matumizi ya kawaida ya ndani kama upangishaji wa nyumba (real estate )zibakie zile za biashara nje ya nchi tu.
Ni mtazamo wangu lakini nina furaha shilingi kwa muda mrefu imesimama 2200 dhidi ya dolla ila tunao uwezo wa kuishusha zaidi.
PAMOJA TUNASONGA MBELE.
Naona muheshimiwa Rais ana dhamira ila baadhi ya taasisi hazimuungi mkono kwa ubunifu wao kiutendaji wanasubiri aseme.
Nilitegemea BOT ingepiga marufuku matumizi ya dola kwenye matumizi ya kawaida ya ndani kama upangishaji wa nyumba (real estate )zibakie zile za biashara nje ya nchi tu.
Ni mtazamo wangu lakini nina furaha shilingi kwa muda mrefu imesimama 2200 dhidi ya dolla ila tunao uwezo wa kuishusha zaidi.
PAMOJA TUNASONGA MBELE.