....hahaha...Scofield na Bajabiri mnasepa bure tu. Jana nilikuwa naangalia H-Baba akiulizwa alichompendea Irene Uwoya (miaka hiyo) akakosa jibu.
Kwanini kuna ugumu gani (uwe umeoa au la) kuelezea Ulimpendea mambo gani Ex-girlfriend/ex-boyfriend, au hata ex-spouse wako?
Let us be fair jamani...😀
hapa Mbu pana mkanganyiko kidogo, kwanza kabisa kama ali kiba alishindwa kulisema hilo hadharani namsifu sana, ila pia sifa hizi nitazizidisha endapo atakuwa na kifua cha kuhifadhi mapungufu ya uwoya.
talking it publicly n mbaya sana kwasababu wanaokuona ni wengi sana hivi wafikiri akisema alimpendea kifua kilichonakshiwa kwa tatoo na ngozi lain na tits zilizofinyangwa kama nyanya ya mshumaa mkewe/girlfriend atamuelewa? au atafurahia? no matter hata kama yeye ndio yuko ndani but kuna vitu vingine huwez kuvisema hadharani hasa vihusuyo mapenzi. binafsi aliyemuuliza swali hilo hajui wala hana ethical related manners ktk profession yake. hongera ali kiba kwa kutokusema mwaya.
daaah kwani kuulizwa maswali ni vibaya mkuu?....alikuwa hakujui maybe kutokana na hayo maswali yake ndo akavutiwa na wewe baada ya kupata majibu...ujue kila mtu ana maswali yake muhimu..mfano for me kuna maswali ni ya muhimu saaana kwangu..dini.umri...sijui yeye alikuuliza maswali gani..but kama ulikwazika na maswali wewe ni mtu wa ajabu...nadhani ulikimbia na paper mkuu...kama vijiswali vya mapenzi visivo na calculation vinakukera ukipewa paper la board teh kidding banaSwali gumu kwakel kuna dada nilimpropose kama miezi 5 imepita mwanzon alileta kausumbufu kakike nataka sitaki nikawa nishachoka bembeleza mwanaume ghafla nilijiuliza huyu msichana anastahili kuwa my wife 1day nikapata jibu hapana kutoka moyoni.nilianza kupunguza kumtafuta matokeo yake yeye ndo ananitafuta nimempa ukwel kwa alivyonisumbua ilifika wakat nikawa nishapoteza kujiamin kumpenda.mtoto wawatu ananiita muhuni nacheza na hisia za wanawake ila ndo ivyo siwez tena kumpa moyo.wakati namtokea aliweka radhau,jeuri na ufahari wa kabila lake mbele na kuhuliza maswal ya kipumbav utazan anataka kuniajir UN. Mimefikiria umuhim wake kwangu nimeona hakuna
Soulmate nadhani ni wachache sana hubahatika kufanya changanuzi ya aina hii. Kwa wanawake wengi hupofushwa na maamuzi ya mwanaume. Kwamba mradi tu amepropose webgi tunajikuta tukisema Yes, Yes bila kujiuliza kama ndie sahihi au lah! Na pia unakuta muda umekwenda mmekaa pamoja kwa muda then tunayafumbia macho yale mabaya kwa mwamvuli wa nitambadilisha akishanioa!
Wana kheri wanaobahatika kutafakari kabla ya kuingia.
kumbe kuna stage basi mimi ya tatu ndo ya kwanza na huwa naishia hapo hapo...Yaani umesoma mind yangu! Niliongea na mtu usiku, hili wazo likawa kichwani mwangu na nikaona uvivu kulitoa.
Kuna mtu aliweka stages za mapenzi humu. Nadhani unaanzia kwenye lust (mhemko wake ni balaa, hunywi maji, hulali, kila saa unamuwaza yeye. Akikugusa hata unywele unastuka kama shoti ya umeme imekupitia).
Stage inayofuata ni love. Mie huiita zone reality! You are not always in the mood for him or her. Unakuwa unafurahia space yako pia lakini huku unammiss na kumpenda pia. Mnaweza kutofautiana bila kupata kichaa cha kurushiana maneno na kulia.
Wenye bahati zao wanaishia stage two, lakini stage three ndo ile mambo yanapoa kabisaaa! Akikuona anaskia kichefuchefu kabisa! Kutegemeana na ustaarabu wenu binafsi, hapo ndio ndondi, kashfa na mengineyo yanaingia. Wastaarabu kidogo wanatafuta small houses, wanajificha ficha wanastuka haiwasaidii wanarudi kimya kimya.
Kufanya maamuzi ya kuingia ndani ukiwa kwenye stage 1 ni suicidal! Na mojawapo ni wazo la kum'badilisha mtu. Hakuna kumbadilisha mtu aisee, take it or leave it!
teh ndo maana mimi nikasema huwa naachika kila siku mtu asie utamjua tu immediately haitaji wiki wala miezi mkuu...huwa nashangaa watu wamekaa miaka 3 eti wachumba then wanaachana...uchumba gani wa miaka 3? wa kujenga ghorofa ama?....huwa sielewi...Nilithubutu na kuona hana vigezo vyote vya kuwa mke wangu mara tu pale nilipokutana nae, kabla ya hapo nilikuwa na mpenzi ila mahusiano yetu hayakuwa mazuri sana na ilinichukua muda mchache sana toka niliachana nae na kumuoa yule niliyemwona kuwa na vigezo vyote. Ilinichukua miezi miwili nikafunga nae ndoa, tena kila kitu cha harusi niligharamikia mwenyewe kwani katika familia kulikuwa na maandalizi ya harusi ya mdogo wangu wa kike na harusi yake na yangu zilipishana wiki moja.
Hadi leo ninae mke wangu, na namshukuru Mwenyezi Mungu kwangu mie ni mke bora kabisa niliyempata na tuna watoto wawili na maisha yetu yanaenda vizuri.
Yaani umesoma mind yangu! Niliongea na mtu usiku, hili wazo likawa kichwani mwangu na nikaona uvivu kulitoa.
Kuna mtu aliweka stages za mapenzi humu. Nadhani unaanzia kwenye lust (mhemko wake ni balaa, hunywi maji, hulali, kila saa unamuwaza yeye. Akikugusa hata unywele unastuka kama shoti ya umeme imekupitia).
Stage inayofuata ni love. Mie huiita zone reality! You are not always in the mood for him or her. Unakuwa unafurahia space yako pia lakini huku unammiss na kumpenda pia. Mnaweza kutofautiana bila kupata kichaa cha kurushiana maneno na kulia.
bahati zao wanaishia stage two, lakini stage three ndo ile mambo yanapoa kabisaaa! Akikuona anaskia kichefuchefu kabisa! Kutegemeana na ustaarabu wenu binafsi, hapo ndio ndondi, kashfa na mengineyo yanaingia. Wastaarabu kidogo wanatafuta small houses, wanajificha ficha wanastuka haiwasaidii wanarudi kimya kimya.
Kufanya maamuzi ya kuingia ndani ukiwa kwenye stage 1 ni suicidal! Na mojawapo ni wazo la kum'badilisha mtu. Hakuna kumbadilisha mtu aisee, take it or leave it!
kumbe unapenda masharo eeeh?Mbu mie nilimpenda sababu aliikuwa very smart yaani nikimuona tu roho kwatu na sura alikuwa nayo ha ha ha usiniulize zaidi bana kha!!!!!