Kutikisa kiuno ni urembo?

Kutikisa kiuno ni urembo?

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Hivi mnaotembea na kutingisha mzigo ni urembo au ni kitu gani,naona sielewi ,kusema kweli wananishughulisha vibaya mno kitu gani kinawafanya wawe wanaendaga kama wanakasolo.
 
Kavideo huna?
Yupo mmoja kwenye mitandao ya short clip ka anawazimu ,yaani hajali,kapo kajizungu hivi kamejazia jazia tume namba 8 ,nalinganisha na hawa wa kwetu hana tofauti.
yaani ka tupo kijiweni basi sote inatokea ghafla tupo kimya,aafu tunasema kapita shetani.
sijajua kwanini wanamitetemo aafu unakuta kila mmoja na mtikiso wake?
 
Yupo mmoja kwenye mitandao ya short clip ka anawazimu ,yaani hajali,kapo kajizungu hivi kamejazia jazia tume namba 8 ,nalinganisha na hawa wa kwetu hana tofauti.
yaani ka tupo kijiweni basi sote inatokea ghafla tupo kimya,aafu tunasema kapita shetani.
sijajua kwanini wanamitetemo aafu unakuta kila mmoja na mtikiso wake?
Neema za Allah
 
Back
Top Bottom