Kuna yale yanayotikisika sana nayachezasana ya vaibrate sana,hao ujue niwale wanaoliwa ndogo,aka mtandao wa robo shilingi,lazma yalainike yanashikwasana wakati waile shuguli.
:clap2::clap2::clap2:Wanawake wa leo wengi wao wapo kibiashara zaidi, na wanajua sera ya uwekezaji vizuri, wanajua kuwa ili umvutie mwekezaji na aje awekeze kwako, inakubidi utangaze vivutio ulivyo navyo. Hivyo kwao wanatangaza vivutio vyao kama vile kuchezesha makalio yao ili kuwavutia wawekezaji (wanaume) ili wakawekeze kwao! Hivyo wanafanya manjonjo ya kuchezesha hayo makalio kwa malengo maalum, ndo maana wanafanya hivyo wanapo waona wanaume wanawaangalia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Uwekezaji juuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!! kwa kifupi ni kwamba, Wanawake wameielewa zaidi sera ya uwekezaji kuliko wanaume ndo maana wapo tayari hata kutumia mitishamba ya china!!!!!!!:clap2::clap2::clap2:
Mawazo yako yaweza kuwa mbali sana na ukweli wa mambo..
Siyo ya ki greti thinka kabisa
kuna ushahidi sisemi kwa kukurupuka,hata madem wengine wanakwambia nipige kwa nyuma ili makalio yalegee na nitengeneze hips pia yawe makubwa huo ndio ukweli hata mkipinga,tafuteni makungwi wajuaji wa mambo wawaeleze,kuna ukweli ndaniyake,wala si kusudio langu kuzalilisha mtu,ila hilo lipo hata mkipinga pingeni lakin kuna ukweli ndaniyake.Mawazo yako yaweza kuwa mbali sana na ukweli wa mambo..
Siyo ya ki greti thinka kabisa
kuna ushahidi sisemi kwa kukurupuka,hata madem wengine wanakwambia nipige kwa nyuma ili makalio yalegee na nitengeneze hips pia yawe makubwa huo ndio ukweli hata mkipinga,tafuteni makungwi wajuaji wa mambo wawaeleze,kuna ukweli ndaniyake,wala si kusudio langu kuzalilisha mtu,ila hilo lipo hata mkipinga pingeni lakin kuna ukweli ndaniyake.
Mhhhhh sasa wasipotingisha,wafanye nini
na huku wamejaaliwa na kubarikiwa......
Wewe ulitaka wafanye nini na mkalio yao?
Mimi nataka watingishe zaidi.....
Jamani tuongelee yote siyo makalio tu. Akina dada wamebuni vivutio vingi zaidi ya kutikisa makalio. Angalia wanavyoacha vitovu waziwazi na robo tatu ya maziwa yanakuwa nje. Kweli wanaume tutapona?
itabidi wanaume tuwe tunavaa vibukta halafu gololi nje tuone itakuwaje
kwan nyi wanaume hamna kitu cha kutikisa?
achen tuonyeshe vitu vyetu jaman...MNATUONEA WIVU?
hahaha...onyesheni tu wala msiogope. Na sie ni wajibu wetu kuangalia, kwanza sie ndio walengwa. By the way "we stare because we care"
Hivi mtu akikuonyesha ndo kakulazimisha twende??Punguzeni tamaa....macho mbele mbele kama tochi!!!
kwan nyi wanaume hamna kitu cha kutikisa?
achen tuonyeshe vitu vyetu jaman...MNATUONEA WIVU?
kwan nyi wanaume hamna kitu cha kutikisa?
achen tuonyeshe vitu vyetu jaman...MNATUONEA WIVU?
Lizzy unajua kila binadamu kaumbwa na kutamani vinginevyo kusingekuwa na vitu vizuri... wakina dada tuoneeni huruma wenzenu, mnatutega sana!!!:twitch: