Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazipataje picha za uchi za mkeo? Tuanzie hapo kwanzaMsaada ndugu zangu, kuna mtu anamtumikisha mke wangu kwa kumtishia kurusha picha za uchi za mke wangu mtandaoni, naomba mnisaidie ni wapi nianzie kumdhibiti huyu
Asikutishe bana kila mtu uchi anao mwambie azirushe!Msaada ndugu zangu, kuna mtu anamtumikisha mke wangu kwa kumtishia kurusha picha za uchi za mke wangu mtandaoni, naomba mnisaidie ni wapi nianzie kumdhibiti huyu
bro. mstiri mwanaume mwenzako, hapo huelew nini maana yake huyu mwenzetu ameoa x~wa mtuKazipataje picha za uchi za mkeo??? Tuanzie hapo kwanza
Unaweza report kituo cha polisi, na kama unaushahidi wa text au calls (kurecord vitisho vyake) itakuwa vizuri..
Mleta mada jibu haya maswali kwanza!! Kabla hatujakupa ushauriMahali sahihi pa kuanzia ni kwa mkeo, hizo picha za utupu za mkeo zilifikaje kwa huyo mtu anayemtishia?
Kwani mkeo anafanya biashara ya kuuza utupu au kupiga picha za utupu?
Akikujibu naomba ni tag mkuu.Ulimuokota wapi huyo
Akikujibu naomba ni tag mkuu.
Kaka sijamuokota, ni mke wng wa ndoa, nimemtoa kwa wazazi wakeUlimuokota wapi huyo
Vile utanchukulia ni sawa tu, unajua kila mtu ana changamoto zake, unaweza sema zako mwingine pia akakuona we zwazwa naeMtoa mada si bora ungesema ni dada yako tu ili kuficha uzwazwa ulio nao.
Yan picha ndio tayar anazo, tuanzie tu hapa kunshauri, nikianza kusema kazitoa wap story itakua ndefu sanaKazipataje hizo picha za u.chi za mke wako...
Mambo yao waachie wenyewe...