Mkuu@Rose1980 Wanapenda kutembea bila viatu bila viatu katika shamba zuri la bustani.......................................... Wanalia kwakwa kwakwaa kwakwa kwakwaa katika shamba zuri la bustani................mabata madogo dogo yanaogeleaaa yanaogeleaaaaaaaaaaaaa katika shamba zuri la bustaniiiiiiiiiiiiii...........!!!!!!!!!!!!!
Mkuu@Malova Haipendezi ni sawa sawa tu na mtu anayekula chakula kisha akajitia vidole rohoni ili apate kutapika asipate kunenepa je na hiyo pia inapendeza mkuu?Ukiwa kwenye mechi (kula mahaba), halafu wakati wazungu(sperm) wanakuja ukatolea nje kwa lengo la kuzia mimba. Je kufanya hivyo kuna madhara gani kiafya na kimahaba? Mwenye kujua anijuze.
Mkuu@Rose1980 Wanapenda kutembea bila viatu bila viatu katika shamba zuri la bustani.......................................... Wanalia kwakwa kwakwaa kwakwa kwakwaa katika shamba zuri la bustani................
Ukiwa kwenye mechi (kula mahaba), halafu wakati wazungu(sperm) wanakuja ukatolea nje kwa lengo la kuzia mimba. Je kufanya hivyo kuna madhara gani kiafya na kimahaba? Mwenye kujua anijuze.
duh.!! Apo ndo umetoka kuamka unawaza hivyo sa mpka ifike usiku sijui itakuaje...
wewe ungekuwa unawaza maendeleo hungekuwa JF saizi. Muda wa kuwaza ni sa ngapi hadi saa ngapi?ndio maana tutakuwa tunasikilizia maendeleo kwenye bomba tu, just imagine mtu unaamka unaanza kuwaza ngono..God forbid..
Hii ni kadiri yako. Mimi saizi ndio nalala. Muda wa kazi ni 8 hrs katk secta nyingi. Chukulia mimi ni polisi nilikuwa zamu usiku saizi nalala utasemaje?duh.!! Apo ndo umetoka kuamka unawaza hivyo sa mpka ifike usiku sijui itakuaje...