hahahah...! Habari za mwaka mpya Husninyo, shamlashamla zinakwendaje???
Husn ! Mwanichakachulia bila hata aibu! Wewe na shost wako Kipipi ! Ukisikia wa Mbuzi ndiyo kama huu uso!
Nakuruhusu sio kutoa tu we Mwaga! Utaanzia na za mchana au za usiku ? Au za mchanausiku ? Funguka !