Naombeni msaada hapa rafiki yangu kutoka ghana ananitumia laptop 2, moving camera na vitu vingine vichache vya dizaini hizo.
Nauliza ni kampuni gani reliable nimshauri aitumie kunitumia hivyo vitu na gharama za yeye kunitumia hivyo vitu kuja huku ni kiasi gani na taratibu zikoje mpaka huo mzigo kunifikia.
Ha ha nimegundua kuwa ni marapeli lakini sikutuma pesa,walitaka nitume pesa kwaajili ya kutumiwa laptop 2,video camera nk...